Tanzania Network of Legal Aid Providers (TANLAP)

Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Kagera

Timu ya TANLAP tayari ipo Kagera wilayani Karagwe kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia hapo kesho tarehe 25 Novemba na pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Karagwe na timu yake pamoja na wafanyakazi wa TANLAP wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Bi. Christina Kamili.

Reach Us Today

4th Floor, Sky City Mall, Plot no. 403/1&3, Block A, Mlalakuwa
P.O. Box 33856
Dar es Salaam, Tanzania.
Tel:+255 22 2761806 /0746237265