Tanzania Network of Legal Aid Providers (TANLAP)

Uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Kagera wilayani Karagwe

Huduma za Msaada wa Kisheria Katika Uzinduzi wa Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Wilayani Karagwe Mkoani Kagera. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. Brig. Gen. Marko Gaguti amefanya uzinduzi huo huku akisisitiza wananchi waache kujichukulia sheria mkononi badala yake wafate sheria na taratibu za nchi.

Reach Us Today

4th Floor, Sky City Mall, Plot no. 403/1&3, Block A, Mlalakuwa
P.O. Box 33856
Dar es Salaam, Tanzania.
Tel:+255 22 2761806 /0746237265