Huduma za Msaada wa Kisheria Katika Uzinduzi wa Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Wilayani Karagwe Mkoani Kagera. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. Brig. Gen. Marko Gaguti amefanya uzinduzi huo huku akisisitiza wananchi waache kujichukulia sheria mkononi badala yake wafate sheria na taratibu za nchi.
Docs Center
Quick Links
Reach Us Today
4th Floor, Sky City Mall, Plot no. 403/1&3, Block A, Mlalakuwa
P.O. Box 33856
Dar es Salaam, Tanzania.
Tel:+255 22 2761806 /0746237265