
Hii ni Wiki ya Msaada wa kisheria, Uzinduzi wa Kitaifa Morogoro. Kauli mbiu ya Kitaifa ni "Huduma ya Msaada wa Kisheria iwakumbuke wakina mama na watoto wa kike." #TANLAP Wazungumzaji: Christina Kamili- Mkurugenzi -TANLAP Godfry Mwansho - Mwenyekiti TLS Mkoa wa Morogoro