Events
Collaboration among state and non state actors is key to ensure respect of human rights, civic space and rule of law for sustainable development. To achieve this, TANLAP had the opportunity to engage with Judicial Officials in Mbeya to identity opportunities for advocacy and collaboration. The meeting was held Thursday 20th August 2020 at Usungilo hotel.
On 26th June 2020 #TANLAP had the opportunity to organize the symposium of Legal Aid Providers to discuss on legal aid provision and access to justice in Tanzania for enhancement of human rights and collaboration among state and non- state actors. The meeting was open by Hon. Amoni Mpanju- Deputy Permanent Secretary of the Ministry of Constitutional and Legal Affairs.
Huduma za msaada wa kisheria zikiendelea hapa Ngara na wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya msaada wa kisheria kwenye maswala mbalimbali yakiwemo ardhi, mirathi, ndoa na mashauri mengine mengi.
Mkuu wa Wilaya ya Ngara akitoa hotuba na salamu za shukrani kwa TANLAP na UN Women katika uwanja wa Posta ya zamani Wilayani Ngara Mkoani Kagera. Ziara ya TANLAP mkoani Kagera inaendelea na utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi wa Ngara.