News
TANLAP kupitia ufadhili wa UN WOMEN leo imezindua wiki ya Msaada wa Kisheria wilayani Karagwe mkoa wa Kagera kuelekea siku ya mwanamke duniani. Uzinduzi huo umefanywa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brig. Gen. Marco Gaguti na kuhudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Katika salamu zake, Mkuu wa Mkoa amewasisitiza wananchi wa Karagwe waje kwa wingi kupata elimu ya sheria na kupata huduma ya msaada wa kisheria inayotolewa bure katika viwanja vya Kayanga. Pia amewaasa wananchi kuibua na kutoa taarifa za ukatili wa kijinsia kwenye vyombo husika na kuepuka kujichukulia sheria mkononi.
Ms. Christina Kamili, Executive Director - TANLAP is honored to Attend the Regional Forum on Alternative Dispute Resolution and Customary and Informal Justice. Seen in the picture is the Tanzania Delegetion with Hon. David K. Maraga , The Chief Justice and the President of the Supreme Court of Kenya. Tanzania Delegates are Hon. Jugde John Mgetta and Isabella Nchimbi -TAWLA. @ Nairobi
TANLAP E.D, Ms. Christina Kamili was honored to be part of the African Centre of Excellence’s research Component Workshop held in Kigali, Rwanda, as an inception Meeting on Research on Community Paralegals in Africa. @ Kigali, Rwanda